Spika wa Bunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Job Ndugai, leo Jumanne September 3, 2019 amemuapisha Ndugu Miraji Mtaturu kuwa Mbunge wa Singida Mashariki.

Mtaturu amechukua nafasi iliyoachwa na Tundu Lissu kupitia chama cha CHADEMA aliyevuliwa Ubunge  mnamo Juni 28 mwaka huu kwa kupoteza sifa za kuwa mbunge wa Jimbo.

Wakati  shughuli za kumuapisa Mh.Mtaturu, Wabunge wa CHADEMA wamesusia tukio hilo kwa kugoma kuingia ukumbini .

Wakati Mtaturu akichukua nafasi yake, Ndugai amesema jimbo hilo sasa limepata mwakilishi halali

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...