Meneja
Uendeshaji wa Benki ya NBC Tawi la Morogoro, Joceline Msuya (wa tatu
kushoto) akizungumza wakati akikabidhi msaada wa madawa na vifaa tiba
vyenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 9 kusaidia hospitali ya
Rufaa ya
Mkoa wa Morogoro pamoja na nyingine zenye uhitaji vilivyotolewa na NBC
ikiwa ni
sehemu ya shughuli za kuisaidia jamii za benki hiyo zinazoendelea
kufanyika
sehemu mbalimbali nchini. Makabidhiano hayo yalifanyika Hospitalini hapo
Mkoani
Morogoro jana. Kushoto kwake ni Kaimu Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya
Rufaa ya
Mkoa wa Morogoro, Dk. Francis Semwene. Madawa hayo yamenunuliwa kutoka
Bohari Kuu la Madawa Nchini (MSD)
Meneja
Uendeshaji wa Benki ya NBC Tawi la Morogoro, Joceline
Msuya (wa tatu kulia), akishikana mikono
na Kaimu Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro, Dk.
Francis
Semwene wakati akimkabidhi msaada wa Madawa
yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 9 kusaidia hospitali hiyo
na nyingine zenye uhitaji vilivyotolewa na NBC ikiwa ni sehemu ya
shughuli za kuisaidia jamii za benki hiyo zinazoendelea kufanyika sehemu
mbalimbali nchini. Makabidhiano hayo yalifanyika Hospitalini hapo Mkoani
Morogoro jana. Madawa hayo yamenunuliwa kutoka Bohari Kuu la Madawa
Nchini (MSD)
Meneja
Uendeshaji wa Benki ya NBC Tawi Morogoro, Joceline Msuya (wa nne
kushoto), akimkabidhi Kaimu Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya
Mkoa wa Morogoro, Dk. Francis Semwene msaada wa madawa na vifaa tiba
vyenye thamani zaidi ya
shilingi Milioni 9 kusaidia hospitali hiyo pamoja na nyingine
zenye uhitaji vilivyotolewa na NBC ikiwa ni sehemu ya shughuli za
kuisaidia
jamii za benki hiyo zinazoendelea kufanyika sehemu mbalimbali nchini.
Makabidhiano hayo yalifanyika hospitalini hapo, Morogoro jana. Madawa
hayo yamenunuliwa kutoka Bohari Kuu la Madawa Nchini (MSD)
Meneja
Mahusiano wa Benki ya NBC Tawi la Morogoro, Grace
Kapesa (wa nne kushoto), akimkabidhi Kaimu
Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro, Dk. Francis
Semwene
msaada wa madawa na vifaa tiba vyenye thamani ya zaidi ya shilingi
Milioni 9 kusaidia hospitali hiyo pamoja na nyingine zenye uhitaji
vilivyotolewa na NBC
ikiwa ni sehemu ya shughuli za kuisaidia jamii za benki hiyo
zinazoendelea
kufanyika sehemu mbalimbali nchini. . Madawa hayo yamenunuliwa kutoka
Bohari Kuu la Madawa Nchini (MSD).
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...