Mkuu wa kitengo cha huduma kwa wateja (Tigo)Bi. Mwangaza Matotola -, akimkaribisha Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Mawasiliano Tigo Bw. Simon Karikari pamoja na viongozi wa idara mbalimbali katika kituo cha kisasa cha huduma kwa wateja. Tukio hilo liliambatana na ukataji wa keki.
Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Mawasiliano TIGO Bw. Simon Karikari akimuongoza mteja katika duka la Tigo Mlimani City kukata keki ya kusherehekea wiki ya Huduma Kwa Wateja pamoja na kushiriki katika kutoa huduma kwa wateja.
Mkurugenzi Mtendaji wa Tigo, Simon Karikari, akijibu na kutatua maswali ya wateja wa Tigo katika kituo cha cha kisasa cha huduma kwa wateja , zoezi hilo limefanyika katika wiki ya huduma kwa wateja.
Mkurugenzi Mtendaji wa Tigo, Simon Karikari, akijibu na kutatua maswali ya wateja wa Tigo katika kituo cha cha kisasa cha huduma kwa wateja , zoezi hilo limefanyika katika wiki ya huduma kwa wateja.
Mkurugenzi mtendaji wa Kampuni ya mawasiliano TIGO Bw. Simon Karikari ametembelea duka la Tigo Mlimani City na kupata nafasi ya kushiriki katika wiki ya huduma kwa wateja na wateja wa Tigo waliokuwa wakiendelea kupata huduma.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...