Mkuu
wa Wilaya ya Tandahimba Sebastian Waryuba (mwenye suti) akikata utepe
kuashiria uzinduzi wa duka jipya la Vodacom wilayani humo juzi. Kushoto
kwake ni Mkuu wa mauzo kanda ya Pwani wa kampuni ya Vodacom Liston Clay
Chale.
Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Sebastian Waryuba (mwenye suti) akizungumza na wageni waalikwa na wafanyakazi wa Vodacom wilayani Tandahimba mwishoni mwa wiki. Kulia kwake ni Mkuu wa mauzo kanda ya Pwani kampuni ya Vodacom Liston Clay Chale.
Mkuu wa mauzo kanda ya Pwani kampuni ya Vodacom Liston Clay Chale akimuelezea Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Sebastian Waryuba namna Vodacom Tanzania ilivyowekeza kufikisha huduma kwa wateja kote nchini.
Wafanyakazi wa duka la Vodacom Korogwe mjini wakiwa kwenye picha ya pamoja kabla ya uzinduzi wa duka jipya la kisasa wilayani humo juzi
Mkuu wa wilaya ya Korogwe, Kissa Kasongwa (katikati) akikata utepe kuzindua rasmi duka jipya la Vodacom mjini Korogwe juzi. Kulia ni Brigita Stephen mkuu wa kanda ya kaskazini Vodacom
Wafanyakazi wa Vodacom wakiendelea na zoezi la usajili wa laini za simu kwenye uzinduzi wa duka jipya mjini Korogwe
Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Sebastian Waryuba (mwenye suti) akizungumza na wageni waalikwa na wafanyakazi wa Vodacom wilayani Tandahimba mwishoni mwa wiki. Kulia kwake ni Mkuu wa mauzo kanda ya Pwani kampuni ya Vodacom Liston Clay Chale.
Mkuu wa mauzo kanda ya Pwani kampuni ya Vodacom Liston Clay Chale akimuelezea Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba Sebastian Waryuba namna Vodacom Tanzania ilivyowekeza kufikisha huduma kwa wateja kote nchini.
Wafanyakazi wa duka la Vodacom Korogwe mjini wakiwa kwenye picha ya pamoja kabla ya uzinduzi wa duka jipya la kisasa wilayani humo juzi
Mkuu wa wilaya ya Korogwe, Kissa Kasongwa (katikati) akikata utepe kuzindua rasmi duka jipya la Vodacom mjini Korogwe juzi. Kulia ni Brigita Stephen mkuu wa kanda ya kaskazini Vodacom
Wafanyakazi wa Vodacom wakiendelea na zoezi la usajili wa laini za simu kwenye uzinduzi wa duka jipya mjini Korogwe
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...