Afisa huduma na elimu kwa mlipakodi kutoka TRA, Catherine Mwakilagala, akitoa maelezo kwa wafanyabiashara wa eneo la Tandika sokoni wakati wa kampeni ya elimu kwa mlipakodi inayoendelea katika jiji la Dar es Salaam.
Afisa Uhusiano Mwandamizi wa TRA Rachel Mkundai akitoa elimu kwa mfanyabisaha wa Tandika aliyefika katika banda la TRA eneo la Tandika Sokoni wakati wa kampeni.
Afisa huduma na elimu kwa mlipakodi mkoa wa kikodi Temeke kutoka TRA, Catherine Mwakilagala (kushoto) akikabidhi Namba ya Utambulisho wa Mlipakodi kwa mfanyabiashara wa Tandika Sokoni Patrick Mosses mara baada ya kujisajili kuwa mlipakodi katika kampeni ya elimu kwa mlipakodi inayoendelea jijini Dar es Salaam.
Afisa huduma na elimu kwa mlipakodi wa mkoa wa kikodi wa Temeke Jackson Museti akitoa elimu ya kodi kwa mlipakodi wa Tandika sokoni katika kampeni ya elimu kwa mlipakodi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...