Waziri wa nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. George Simbachawene amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Taasisi ya Carbobn Tanzania Bw. Mark Barker aliyemtembelea ofisini kwake jijini Dodoma ambapo wamejadili namna ya kusaidia wananchi kuwa na matumizi bora ya ardhi kupitia mradi wa REDD unaotekelezwa na taasisi hiyo katika wilaya ya Mbulu, Tanganyika na Kiteto. Katika mazungumzo hayo pia Simbachawene aliiomba taasisi hiyo kupeleleka miradi hiyo katika mikoa ya Tabora, Singida na Dodoma ili wananchi wa maeneo hayo wapate elimu hiyo. 
Waziri wa nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. George Simbachawene akiagana na Mkurugenzi wa Taasisi ya Carbobn Tanzania Bw. Mark Barker mara baada ya kufanya nae mazungumzo ofisini kwa waziri.

Waziri wa nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. George Simbachawene akiagana na Mkurugenzi wa Taasisi ya Carbobn Tanzania Bw. Mark Barker mara baada ya kufanya nae mazungumzo ofisini kwa waziri.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...