Kitabu cha MAKING AFRICA WORLD'S LARGEST ECONOMY kilichotungwa na Mwanahabari Nguli nchini, Derek Murusuri na kuzinduliwa hivi karibuni na Waziri Mkuu mstaafu, Mizengo Pinda tayari kimeanza kupatikana katika maduka ya kuuza vitabu la TPH BOOKSHOP Dar es Salaam na VICTORY BOOKSHOP jijini Dodoma.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...