Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri wa Mifugo na Uvuvi,
Luhaga Mpina (kulia) , bungeni jijini Dodoma, Februari 3, 2020. Wa tatu
kulia ni Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega na wa pili
kulia ni Naibu Waziri wa Kilimo, Omary Mgumba. (Picha na Ofisi ya Waziri
Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Naibu Waziri wa Wizara ya
Kilimo, Hussein Bashe, bungeni jijini Dodoma, Februari 3, 2020.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Naibu Waziri, Ofisi ya Rais
TAMISEMI, Jesephat Kandege bungeni jijini Dodoma, Februari 3, 2020.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na mbunge wa Busega, Dkt. Raphael Chegeni, bungeni jijini Dodoma, Februari 3, 2020.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi, bungeni jijini Dodoma, Februari 3, 2020.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wabunge, Joseph Haule wa Mikumi (kulia) na Peter Lijualika wa Kilombero kwenye viwanja vya bunge jijini Dodoma, Februari 3, 2020.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na wabunge wa Viti Maalum kwenye viwanja vya bunge jijini Dodoma, Februari 3, 2020. Kutoka kushoto ni Cesilia Pareso, Grace Kiwelu na Risala Kabongo.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na mbunge wa Igunga, Dkt. Dalaly Kafumu kwenye jengo la utawala la bunge jijini Dodoma, Februari 3, 2020. Katikati ni Mbunge wa Viti Maalum, Shally Raymond.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kizungumza na wananchi kutoka kijiji cha Mwanzugi wilayani Igunga waliotembelea bunge kwa mwaliko wa mbunge wao, Dkt. Dalaly Kafumu (wa pili kushoto), Februari 3, 2020. Kutoka kulia ni Abel Nching’wa, Ntemi Mboje na Mahona Lutengwa.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na mnadhimu mkuu wa kambi rasmi ya upinzani bungeni, Ester Bulaya, kwenye jengo la utawala la Bunge jijini Dodoma, Februari 3, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na mbunge wa Busega, Dkt. Raphael Chegeni, bungeni jijini Dodoma, Februari 3, 2020.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi, bungeni jijini Dodoma, Februari 3, 2020.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wabunge, Joseph Haule wa Mikumi (kulia) na Peter Lijualika wa Kilombero kwenye viwanja vya bunge jijini Dodoma, Februari 3, 2020.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na wabunge wa Viti Maalum kwenye viwanja vya bunge jijini Dodoma, Februari 3, 2020. Kutoka kushoto ni Cesilia Pareso, Grace Kiwelu na Risala Kabongo.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na mbunge wa Igunga, Dkt. Dalaly Kafumu kwenye jengo la utawala la bunge jijini Dodoma, Februari 3, 2020. Katikati ni Mbunge wa Viti Maalum, Shally Raymond.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kizungumza na wananchi kutoka kijiji cha Mwanzugi wilayani Igunga waliotembelea bunge kwa mwaliko wa mbunge wao, Dkt. Dalaly Kafumu (wa pili kushoto), Februari 3, 2020. Kutoka kulia ni Abel Nching’wa, Ntemi Mboje na Mahona Lutengwa.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na mnadhimu mkuu wa kambi rasmi ya upinzani bungeni, Ester Bulaya, kwenye jengo la utawala la Bunge jijini Dodoma, Februari 3, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...