Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akisalimiana na Mabalozi wastaafu pale
Mabalozi hao walipoingia katika ukumbi wa Bunge kwa ajili ya kujifunza
jinsi Bunge linavyofanya kazi zake.
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akizungumza na Mabalozi wastaafu
walipotembelea Bunge leo Jijini Dodoma, kwa ajili ya kujifunza jinsi
Bunge linavyofanya kazi zake
Mabalozi mbalimbali wastaafu wakiwa katika ukumbi wa Bunge wakimsikiliza
Spika Job Ndugai (hayupo kwenye picha) walipomtembelea leo Bungeni
Jijini Dodoma. Pia walijifunza jinsi Bunge linavyofanya kazi zake
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai akisalimiana na Balozi Mstaafu, Mhe.
Matilda Buriani pale Mabalozi wastaafu walitembelea Bunge kwa ajili ya
kujifunza jinsi Bunge linavyofanya kazi zake Jijini Dodoma. Kushoto ni
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe.
Dkt. Damas Ndumbaro
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (wa saba kushoto) katika picha ya pamoja
na Mabalozi wastaafu nje ya ukumbi wa Bunge Jijini Dodoma. Mabalozi hao
walitembelea Bunge kwa ajili ya kujifunza jinsi Bunge linavyofanya kazi
zake.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...