Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa  akiweka jiwe la msingi la jengo la Ofisi za Halmashauri ya Wilaya ya Handeni, Machi 3, 2020.
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama mitambo baada ya  kuweka jiwe la msingi la kiwanda cha kuchakata nafaka katika kijiji cha Mkata wilayani Handeni Machi 3, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na wananchi wa   Mkata wilayani Handeni, machi 3, 2020.
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwapungia  wananchi wakati alipowasili kwenye uwanja wa Shule ya Msingi Chanika mjini  Handeni kuhutubia mkutano wa hadhara, Machi 3, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akihutubia mkutano wa hadhara kwenye uwanja wa Shule ya Msingi ya Chanika mjini  Handeni, Machi 3, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Wananchi wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kassim  Majaliwa wakati alipohutubia mkutano wa hadhara kwenye uwanja wa Shule ya Msingi ya Chanika mjini Handeni, Machi 3, 2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...