Moja ya Kituo Cha bodaboda Cha mabibo wakiwa na kitakasa mikono kwa ajili ya abiria na wenyewe wanapopakia wateja kuwafikisha sehemu mbalimbali ikiwa ni agizo la serikali kuzingatia tahadhari ya ugonjwa wa Virusi vya Corona Kama walivyokutwa na kamera ya Michuzi Tv . Wananchi wamekuwa wakichukua maagizo ya serikali katika kujikinga na ugonjwa huo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...