Waziri Mkuu Kassim Majaliwa (kulia) akizungumza jambo na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene katika viwanja vya Bunge jijini Dodoma leo Aprili 8/2020.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Spika wa Bunge, Job Ndugai ofisini kwake bungeni jijini Dodoma leo Aprili 8/2020 
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akifuatalia mjadala wa Bajeti ya Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa kwa mwaka wa fedha wa 2020/2021 ulioiwasilishwa na Waziri wake, Selemani leo Aprili 8/2020. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...