Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, akisalimiana na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mihayo Juma Nhunga (kushoto), wakati akiwasili kwenye uwanja wa Abeid Amani Karume, kumwakilisha Rais Magufuli, kwenye dua ya kumuombea aliyekua Rais wa kwanza wa Zanzibar, Abeid Amani Karume, katika kumbukizi ya kifo chake, Zanzibar Aprili 7, 2020. Katikati ni Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Hassan Khatib Hassan. 
Rais wa Zanzibar, Dkt. Ali Mohammed Shein, akiwa na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa, wakiomba dua kwenye kaburi la Rais wa kwanza wa Zanzibar, Sheikh Abeid Amani Karume, kwenye dua ya kumuombea muasisi huyo, iliyofanyika katika Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui, katika kumbukizi ya kifo chake,an Zzibar Aprili 7, 2020. Waziri Mkuu amemwakilisha Rais Magufuli.
Rais wa Zanzibar, Dkt. Ali Mohammed Shein, akizungumza na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, baada ya dua ya Muasisi na Rais wa kwanza wa Zanzibar, Sheikh Abeid Amani Karume, iliyofanyika katika Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui, katika kumbukizi ya kifo chake, Zanzibar Aprili 7, 2020
Rais Mstaafu wa Zanzibar, Dkt. Amani Karume, akiwa na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa, wakiomba dua kwenye kaburi la Rais wa kwanza wa Zanzibar, Sheikh Abeid Amani Karume, akizungumza na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, baada ya dua ya Muasisi na Rais wa kwanza wa Zanzibar, Sheikh Abeid Amani Karume, iliyofanyika katika Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui, katika kumbukizi ya kifo chake, Zanzibar Aprili 7, 2020 (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...