Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na ambaye pia ni Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt.Hassan Abbas, jana ametembelea ofisi za Taasisi ya Hakimiliki Tanzania (Cosota) jijini Dar es Salaam na kuwataka Bodi na wafanyakazi, baada ya taasisi hiyo kuhamishiwa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, wachape kazi zaidi na kwa kasi na kuhakikisha taasisi hiyo inageuka kuwa kimbilio la wadau wa sanaa na ubunifu nchini na hasa kufikia lengo la kuwafanya wasanii na wadau wengine wa kazi za sanaa za ubunifu Tanzania kuwa mashuhuri-tajiri na si mashuhuri-maskini.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo na ambaye pia ni Msemaji Mkuu wa Serikali Dkt.Hassan Abbas, akifafanua jambo alipotembelea ofisi za Taasisi ya Hakimiliki Tanzania (Cosota) jijini Dar es Salaam na kuwataka Bodi na wafanyakazi, baada ya taasisi hiyo kuhamishiwa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, wachape kazi zaidi na kwa kasi na kuhakikisha taasisi hiyo inageuka kuwa kimbilio la wadau wa sanaa na ubunifu nchini na hasa kufikia lengo la kuwafanya wasanii na wadau wengine wa kazi za sanaa za ubunifu Tanzania kuwa mashuhuri-tajiri na si mashuhuri-maskini.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...