Idadi ya Wagombea wa Udiwani Viti Maalum jijini Dodoma kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) imefikia 109 huku zoezi la uchukuaji na urejeshaji wa fomu likitamatishwa siku ya leo.
Katibu wa UWT Wilaya ya Dodoma Mjini, Diana Madukwa amesema zoezi hilo linaenda vizuri ambapo muamko wa wanawake kuchukua fomu ni mkubwa na unaonesha jinsi gani Demokrasia ndani ya CCM imepamba moto na watu wanavutiwa kufanya kazi ya kumsaidia Rais Magufuli.
Katibu wa UWT Wilaya ya Dodoma Mjini, Diana Madukwa amesema zoezi hilo linaenda vizuri ambapo muamko wa wanawake kuchukua fomu ni mkubwa na unaonesha jinsi gani Demokrasia ndani ya CCM imepamba moto na watu wanavutiwa kufanya kazi ya kumsaidia Rais Magufuli.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...