Mwenyekiti wa TUGHE  Mkoa wa Arusha Bi.Kabula Juma Sukwa amejitokeza  kuchukua fomu kuomba ridhaa ya chama Cha Mapinduzi kumteua kugombea nafasi Ubunge Viti Maalum wanawake kupitia Chama hicho  ndani ya Umoja wa Wananwake Ccm (UWT).
 Mtia Nia Ubunge Viti Maalum kupitia kundi la Wanawake UWT Kabula Sukwa akisikiliza Maelekezo kwa Katibu wa UWT mkoa wa Arusha.
 mtia Nia kwa tiketi Ccm ambaye Ni Kada wa chama hicho Saitoti Sitton Saibull naye amejitokeza kuweza kuchukua fomu Jimbo la Arusha Mjini kuomba ridhaa ya chama chake kumteua kuwa mgombea Ubunge Jimbo la Arusha Mjini.(Picha zote na Ashura Mohamed -Arusha)
 Mtia Nia Ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi Jimbo la Arusha Mjini ambaye pia Ni Mwandishi wa habari Victor K.Moshi akiwa na katibu wa Ccm Wilaya ya Arusha Mjini Deus Mwita wakati zoezi la Uchukuaji fomu ndani ya chama hicho.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...