Katibu wa Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT) Mkoa wa Singida, Edina Kiguru (kushoto) akipokea fomu ya kugombea Ubunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Singida kutoka kwa, Warida Musa Nkhangaa.
 Katibu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Singida, George Silindu,  akipokea fomu ya kugombea Ubunge kupitia UVCCM Mkoa wa Singida kutoka kwa, Esther Yona Makala.
Katibu wa Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT) Mkoa wa Singida, Edina Kiguru (kushoto) akipokea fomu ya kugombea Ubunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Singida kutoka kwa, Asha Nkindwa.
Katibu wa Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT) Mkoa wa Singida, Edina Kiguru (kushoto) akipokea fomu ya kugombea Ubunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Singida kutoka kwa, Mbunge aliyemaliza muda wake, Aysharose  Mattembe ambaye anatetea kiti hicho.
Katibu wa Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT) Mkoa wa Singida, Edina Kiguru (kushoto) akipokea fomu ya kugombea Ubunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Singida kutoka kwa, Julieth Julius Ishengoma.
Katibu wa Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT) Mkoa wa Singida, Edina Kiguru (kushoto) akipokea fomu ya kugombea Ubunge kupitia UVCCM Mkoa wa Singida kutoka kwa, Ashura Hamis Selemani.

Katibu wa Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT) Mkoa wa Singida, Edina Kiguru (kushoto) akipokea fomu ya kugombea Ubunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Singida kutoka kwa, Leah Paul Lwanji.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...