Na Al-Hassan Muhidin
 Mkemia Herman Kweka amejitokeza kuchukua fomu ya kugombea nafasi ya Ubunge katika wilaya ya Kigamboni akiwa ni miongoni mwa makada wachache wanaotajwa  kuleta ushindani  katika kinyang'anyiro cha kura za maoni ndani ya Chama hicho.
Rais wa Chama cha Mpira wa Kikapu (TBF) Phares Magesa akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kuchukua fomu ya kugombea ubunge la Jimbo la Mbagala.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...