Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Mhe. Dkt. Eliezer Feleshi akiongoza kikao cha Baraza la Elimu ya Sheria la Tanzania Bara, kwa njia ya Mkutano Mtandao  leo Jijini Dar es Salaam huku baadhi ya wajumbe wawili wakishiriki kwa mtandao nje ya  jiji hilo. Jaji Kiongozi ambaye ni Mwenyekiti wa baraza hilo,  ameongoza kikao hicho cha tathmini ya mchakato wa kupokea maombi , usahili wa kuwapokea na kuwakubali mawakili wapya uliofanyika hivi karibuni.
Mjumbe wa kikao hicho,  Dkt. Erasmo Nyika  ambaye ni Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Shule ya Sheria kwa Vitendo (Law School )akichangia hoja.
Katibu wa Baraza la Elimu ya Sheria la Tanzania Bara, ambaye pia Naibu Msajili  Mkuu Mwandamizi wa Mahakama  Kuu ya Tanzania Masjala Kuu, Mhe. Messe Chaba, akitoa tathmini ya mchakato huo.

Mjumbe wa kikao hicho, Aisha Sinda ambaye ni Wakili wa Kujitegemea akizungumza jambo kwenye kiako hicho.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...