Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Mkewe Mary Majaliwa
wakikaribishwa na Katibu wa CCM wa Wilaya ya Ruangwa, Barnabas Essau
(kulia) wakati walipowasili kwenye Ofisi ya CCM ya wilaya hiyo
kuchukua fomu za kuwania tena Ubunge wa Jimbo la Ruangwa, Julai 15,
2020.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akionyesha fomu za kuwania tena
Ubunge wa Jimbo la Ruangwa baada ya kuzichukua, kuzijaza na
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akirejesha fomu za kugombea
tena ubunge wa Jimbo la Ruangwa kwenye ofisi ya CCM ya wilaya ya
Ruangwa baada ya kuzichukua na kuzijaza,kushoto ni Mkewe Mary
Majaliwa, Julai 15, 2020.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitia saini kitabu baada ya kurejesha fomu za kuwania tena Ubunge wa Jimbo la Ruangwa, Julai 15, 2020. Kulia ni Katibu wa CCM wa wilaya ya Ruangwa, Barnabas Essau. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...