



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiondoka katika viwanja
vya Ikulu Chamwino mkoani Dodoma mara baada ya hafla fupi ya kuwaapisha
Viongozi mbalimbali aliowateua.
Viongozi
mbalimbali walioteuliwa mstari wa mbele wakiwa wanasikiliza hotuba ya
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe
Magufuli katika hafla fupi iliyofanyika katika Ikulu ya Chamwino mkoani
Dodoma.















Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...