RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, akiwahutubia Wananchi wakati wa hafla ya Ufunguzi wa Maonesho ya Nanenane yanayofanyika katika Viwanja vya Chamanangwe Wilaya ya Micheweni Pemba leo 6/8/2020.(Picha na Ikulu)
WANANCHI wa Mikoa Miwili ya Pemba wakifuatilia hutuba ya ufunguzi wa Maonesho ya Nanenane yanayofanyika katika viwanja vya Chamanangwe Wilaya ya Micheweni Pemba, wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, (hayupo pichani) akihutubia na kuyafungua maonesho hay oleo 6/8/2020.(Picha na Ikulu)
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed
Shein, akiangalia na kufurahia akiwa na nyundo na kijembe wakati
alipotembelea banda la maionesho la Chuo Cha Mafunzo Zanzibar, wakati wa
ufunguzi wa Maonesho ya Nanenane yanayofanyika katika viwanja vya
Chamanangwe Wilaya ya Micheweni Pemba.(Picha na Ikulu)RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed
Shein, akitembelea mabanda ya Maonesho ya Kilimo ya Nanenane,(kushoto
kwa Rais) Katibu Mkuu wa Kilimo Maliasili Mifugo na Uvuvi Bi. Maryam
Juma Mabodi, baada ya kuyafungua rasmin leo katika viwanja vya
Chamanangwe Wilaya ya Micheweni Pemba.(Picha na Ikulu)RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed
Shein, akimsikiliza Kaimu Idara ya Uvuvi Pemba Bi. Hidaya Khamis,
akitowa maelezo jinsi ya ufugaji wa Pweza, wakati wa hafla ya Ufunguzi
wa Maonesho ya Nanenane, baada ya kuyafungua rasmin leo 6/8/2020 katika
viwanja vya Chamanangwe Wilaya ya Micheweni Pemba.(Picha na Ikulu)RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed
Shein, akimsikiliza Kaimu Idara ya Uvuvi Pemba Bi. Hidaya Khamis,
akitowa maelezo jinsi ya ufugaji waKamba, wakati wa hafla ya Ufunguzi wa
Maonesho ya Nanenane, baada ya kuyafungua rasmin leo 6/8/2020 katika
viwanja vya Chamanangwe Wilaya ya Micheweni Pemba.(Picha na Ikulu)RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed
Shein, akiwa ameshika mfuko ukiwa na Unga wa Shelisheli, wakati
akitembelea banda la maonesho la Jumuiya ya Usarivu Mazao ZanzibRAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed
Shein, akimsikiliza Afisa Kilimo Pemba Ndg. Amour Juma, akitowa maelezo
ya Kilimo Darasa, wakati wa hafla ya ufunguzi wa Maonesho ya Kilimo ya
Nanenane yanayofanyika katika viwanja vya Chamanangwe Wilaya ya
Micheweni Pemba.(Picha na Ikulu)
WASANII
wa Kikundi Taarab cha Wajelajela wakitowa burudani wakiimba wimbo
maalum wakati wa hafla ya Ufunguzi wa Maonesho ya Nanenane
yanayifanyuika katika Uwanja wa Chamanangwe Wilaya ya Micheweni
Pemba.(Picha na Ikulu)
KATIBU
Mkuu Wizara ya Kilimo Maliasili Mifugo na Uvuvi Zanzibar.Bi. Maryam
Juma Sadala (Mabodi) akitowa maelezo ya Kitaalam wakati wa hafla ya
ufunguzi wa Maonesho ya Manenane yanayofanyika katika viwanja vya
Chamanangwe Wilaya ya Micheweni Pemba leo 6/8/2020.(Picha na Ikulu)
WAZIRI
wa Kilimo Maliasili Mifugo na Uvuvi Zanzibar Mhe. Mmanga Mjengo
Mjawiri, akizungumza kabla ya kumkaribisha mgeni rasmin Rais wa Zanzibar
na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein,(hayupo
pichani) maonesho hayo yanafanyika katika Viwanja vya Chamanangwe Wilaya
ya Micheweni Pemba leo 6/8/2020.(Picha na Ikulu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...