Afisa Mwandamizi wa Taarifa Rasmi za Bunge, Ndg. Patson Sobha akielezea historia ya Bunge kwa wanafunzi wa Modern English Medium Pre and Primary School walipotembelea banda la Bunge katika Maonyesho ya Nane nane 2020 yanayoendelea katika viwanja vya Nzuguni Jijini Dodoma.
Afisa Mwandamizi wa Taarifa Rasmi za Bunge, Ndg. Patson Sobha akielezea kazi ya siwa (mace) Bungeni kwa wanafunzi wa Modern English Medium Pre and Primary School walipotembelea banda la Bunge katika Maonyesho ya Nane nane 2020 yanayoendelea katika viwanja vya Nzuguni Jijini Dodoma.
Afisa Mwandamizi wa Taarifa Rasmi za Bunge, Ndg. Patson Sobha akitoa ufafanuzi kuhusu joho la Spika, Wenyeviti wa Bunge na Makatibu Mezani kwa wanafunzi wa Modern English Medium Pre and Primary School walipotembelea banda la Bunge katika Maonyesho ya Nane nane 2020 yanayoendelea katika viwanja vya Nzuguni Jijini Dodoma.
Wanafunzi wa Modern English Medium Pre and Primary School watembelea banda la Bunge katika Maonyesho ya Nane nane 2020 yanayoendelea katika viwanja vya Nzuguni Jijini Dodoma.
Walimu na wanafunzi wa Modern English Medium Pre and Primary School wakiwa katika picha ya pamoja baada ya kutembelea banda la Bunge katika Maonyesho ya Nane nane 2020 yanayoendelea katika viwanja vya Nzuguni Jijini Dodoma.(PICHA NA OFISI YA BUNGE)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...