Msafara wa  magari na pikipiki ukimsindikiza  Mgombea ubunge jimbo la Karagwe na Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Innocent Bashungwa kwenye uzinduzi wa Kampeni za CCM jimbo la Karagwe kwa upande wa Urais, Wabunge na Madiwani uliofanyika kwenye viwanja vya Stendi ya Omurushaka, Karagwe, Kagera
Mgombea ubunge jimbo la Karagwe na Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Innocent Bashungwa akizungumza na Wananchi wa Karagwe wakati wa uzinduzi wa Kampeni za CCM jimbo la Karagwe kwa upande wa Urais, Wabunge na Madiwani katika viwanja vya Stendi ya Omurushaka, Karagwe, Kagera
Wagombea Udiwani wa kata 23 za jimbo la Karagwe na Udiwani viti maalum wakitambulishwa kwa wananchi wakati wa uzinduzi wa Kampeni za CCM jimbo la Karagwe kwa upande wa Urais, Wabunge na Madiwani katika viwanja vya Stendi ya Omurushaka, Karagwe, Kagera.
Picha na Eliud Rwechungura

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...