Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa
na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza na mwananchi katika mkutano
wa kampeni kwenye uwanja wa Mkoringa, Kirima Juu wilayani Moshi
Vijijini,

Wananchi wa Kirima Juu
wakimsikiliza Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa na Waziri Mkuu, Kassim
Majaliwa wakati alipohutubia mkutano wa kampeni kwenye uwanja wa
Mkoringa, Kirima Juu wilayani Moshi Vijijini, Septemba 6, 2020. (Picha
na Ofisi ya Waziri Mkuu)



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...