
Wachoma vitumbua waliopo kando kando ya kituo cha Daladala cha kata ya Vikindu barabara Kilwa wilaya ya Mkuranga mkoa wa Pwani leo Septemba 8, 2020 wakiendeleaa na kazi yao kama wanavyonekana pichani ambapo kitumbua kimoja ni Shiling 100,200


(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv)


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...