Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na
Rasilimali Watu Bunge Ndg. Jane Kajiru alifungua kwa niaba ya Katibu wa
Bunge Mafunzo kuhusu Jinsia yaliyotolewa kwa Watumishi wa Bunge–Idara
ya Maktaba na Utafiti. Mafunzo hayo yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa
Msekwa chini ya Ufadhiri wa Mradi wa Kulijengea Bunge uwezo (LSP II).

Watumishi wa Bunge kutoka Idara ya
Maktaba na Utafiti wakiwa katika picha ya pamoja na Mkurugenzi wa
Utawala na Rasilimali Watu Bunge Ndg. Jane Kajiru baada ya kufungua kwa
niaba ya Katibu wa Bunge Mafunzo kuhusu Jinsia yaliyotolewa kwa
Watumishi wa Idara hiyo kwenye Ukumbi wa Msekwa chini ya Ufadhiri wa
Mradi wa Kulijengea Bunge uwezo (LSP II).



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...