Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Rais Mheshimiwa Dkt. John
Pombe Magufuli akiwaelekeza Wananchi namna ya kumpigia Kura yeye pamoja
na Mgombea Mwenza Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan katika Karatasi ya
kupigia Kura katika mkutano wa Kampeni za CCM uliofanyika katika
viwanja vya Chuo cha Ualimu Korogwe mkoani Tanga leo tarehe 20 Oktoba
2020
Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Rais Mheshimiwa Dkt. John
Pombe Magufuli akizungumza na Wananchi wa Korogwe katika mkutano wa
Kampeni za CCM uliofanyika katika viwanja vya Chuo cha Ualimu Korogwe
mkoani Tanga leo tarehe 20 Oktoba 2020.
Mgombea
Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe
Magufuli akiwasalimia Wananchi wa Korogwe mara baada ya kuwasili katika
uwanja wa Mkutano wa Kampeni leo tarehe 20 Oktoba 2020.
Sehemu
ya Wananchi wa Korogwe waliohudhuria mkutano wa Kampeni za Mgombea
Urais kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Rais Mheshimiwa Dkt. John Pombe
Magufuli katika viwanja vya Chuo cha Ualimu Korogwe.



Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...