Mgombea wa Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt.
Hussein Ali Mwinyi akizungumza na wakazi wa Kiwengwa wakati akiomba ridhaa ya kupewa nafasi ya kuingoza nchi hiyo kupitia uchaguzi mkuu utakaaofanyika Oktoba 28, Mwaka huu, Mwinyi amehaidi kutatua changamoto za utalii na kuboresha mazingira ya biashara.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...