Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dkt. Ali Mohamed Shein (katikati) Mke wa Mgombea Urais wa Zanzibar Mama
Marium Mwinyi na Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia CCM Dkt.Hussein Ali
Hassan Mwinyi kwa pamoja wakifungua pazia kuashiria ufunguzi wa Nyumba
za maendeleo Mji Mpya wa Kwahani Mjini Zanzibar leo.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akikata utepa kama ishara ya ufunguzi
wa Nyumba za Maendeleo Mji Mpya wa Kwahani Mjini Zanzibar leo,(kulia)
Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia CCM Dkt.Hussein Ali Hassan Mwinyi
akiwa na Mkewe Mama Marium Mwinyi (wa tatu kulia) Waziri wa Fedha na
Mipango Balozi Mohamed Ramia Abdiwawa na Makamu wa Pili wa Rais wa
Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi

Baadhi ya Wananchi wa Maeneo mbalimbali wakiwa katika
sherehe za ufunguzi wa Nyumba za Maendeleo Mji Mpya wa Kwahani Mjini
Zanzibar uliofanyika leo,mgeni rasmi akiwa Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo
pichani.)

Wananchi wa Kwahani na maeneo mbalimbali wakiwa katika
sherehe za ufunguzi wa Nyumba za Maendeleo Mji Mpya wa Kwahani Mjini
Zanzibar uliofanyika leo,mgeni rasmi  alikuwa Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo
pichani.)

Wafanyakazi wa Tasisi mbalimbali za Serikali na
Binafsi  wakiwa katika sherehe za ufunguzi wa Nyumba
za Maendeleo Mji Mpya wa Kwahani Mjini Zanzibar uliofanyika leo,mgeni
rasmi  alikuwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein (hayupo pichani.)

Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia CCM Dkt.Hussein Ali
Hassan Mwinyi alipokuwa akiwaslimia Wananchi wa Jimbo  la Kwahani
pamoja na Viongozi wakati wa sherehe za ufunguzi wa Nyumba za
Maendeleo Mji Mpya wa Kwahani Mjini Zanzibar

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akitoa hutuba yake katika sherehe za
ufunguzi wa Nyumba za Maendeleo Mji Mpya wa Kwahani Mjini Zanzibar
uliofanyika leo,(kulia) Waziri wa Fedha na Mipango Balozi Mohamed
Ramia Abdiwawa na (wa tatu Kushoto) Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia
CCM Dkt.Hussein Ali Hassan Mwiny

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dkt. Ali Mohamed Shein (kushoto)  akikabidhi funguo kwa Bw. Ali
Hamad Haji (kulia) akiwa ni miongoni mwa Wananchi waliopatiwa Nyumba
Mpya katika sherehe za ufunguzi wa Nyumba za Maendeleo Mji Mpya wa
Kwahani Mjini Zanzibar uliofanyika leo,(wa pili kushoto) Waziri wa
Fedha na Mipango Balozi Mohamed Ramia Abdiwawa na (wa tatu Kushoto)
Naibu Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe.Mgeni Hassan
Juma

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) alipokuwa akikabidhi funguo kwa Bibi
.Hamida Mwinyi Mmadi (wa pili kulia) akiwa ni miongoni mwa Wananchi
waliopatiwa Nyumba Mpya katika sherehe za ufunguzi wa Nyumba za
Maendeleo Mji Mpya wa Kwahani Mjini Zanzibar uliofanyika leo,(wa pili
kushoto) Waziri wa Fedha na Mipango Balozi Mohamed Ramia Abdiwawa na
(wa tatu Kushoto) Naibu Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar
Mhe.Mgeni Hassan Juma,

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) alipokuwa akikabidhi funguo kwa
Bw.Abdi Ameir Ali (kulia) akiwa ni miongoni mwa Wananchi waliopatiwa
Nyumba Mpya katika sherehe za ufunguzi wa Nyumba za Maendeleo Mji
Mpya wa Kwahani Mjini Zanzibar uliofanyika leo,(wa pili kushoto)
Waziri wa Fedha na Mipango Balozi Mohamed Ramia Abdiwawa na (wa tatu
Kushoto) Naibu Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar Mhe.Mgeni
Hassan Juma. [Picha na Ikulu.]

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...