Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. Ummy Mwalimu akiteta jambo Aliekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. Azzan Zungu mapema hii leo katika mji wa Serikali Mtumba Dodoma.
Aliekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. Azzan Zungu akikabidhi Ofisi kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Ummy Mwalimu. Hafla hiyo ya makabidhiano imefanyika hii leo katika Mji wa Serikali Mtumba, Dodoma.
Aliekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. Azzan Zungu akikabidhi Ofisi kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Ummy Mwalimu. Hafla hiyo ya makabidhiano imefanyika hii leo katika Mji wa Serikali Mtumba, Dodoma. Kushoto ni Kaimu Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Balozi Joseph Sokoine.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...