Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Isdor Mpango, akipata maelezo kuhusu Maendeleo na Changamoto mbalimbali zinazoikabili Hospitali ya Uhuru Jijini Dodoma kutoka kwa Mganga Mfawidhi wa Hospitali hiyo Dr. Pius Kagoma wakati alipotembelea kwa kushitukiza leo April 26,2021.


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Isdor Mpango, akizungumza na kusikiliza  Changamoto mbalimbali kutoka kwa Wahudumu wa Hospitali ya Uhuru Jijini Dodoma wakati alipotembelea kwa kushitukiza katika Hospitali hiyo leo April 26,2021. (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...