Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (Kushoto) akifurahia Jambo na viongozi wa Jumuiya ya kuhifadhisha Qur’an Tanzania wakiongozwa na Mwenyekiti wao Sheikh Othman Ali Kaporo (katikati) walipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Kushoto kwake ni Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega
Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (Kushoto) akimsikiliza Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega (wapili kushoto) pale viongozi wa Jumuiya ya kuhifadhisha Qur’an Tanzania wakiongozwa na Mwenyekiti wao Sheikh Othman Ali Kaporo (katikati) walipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma.

Spika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai (katikati) katika picha ya pamoja na viongozi wa Jumuiya ya kuhifadhisha Qur’an Tanzania wakiongozwa na Mwenyekiti wao Sheikh Othman Ali Kaporo (wapili kulia) walipomtembelea leo Ofisini kwake Bungeni Jijini Dodoma. Kulia ni Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Mhe. Abdallah Ulega.(PICHA NA OFISI YA BUNGE.)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...