Balozi mdogo wa China Shang Shisceng  akimpazawadi ya Vitabu  Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Fenda na Mipango Zanzibar Jamal Kassim Ali baada ya mazungumzo yao..

Picha na Makame Mshenga.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar Jamal Kassim Ali akizungumza na Balozi mdogo wa China Shang Shisceng kuhusu uboreshwaji wa udhamini wa masoma nchini China walipokutana Ofisini kwake Vuga Mjini Zanzibar.
  Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Fedha na Mipango Zanzibar Jamal Kassim Ali akifafanua kitu wakati wa mazungumzo yake na Balozi Mdogo wa China  Shang Shisceng Ofisi kwake Vuga.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...