Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, akisalimiana na Baadhi ya Maaskofu  wa Kanisa la Anglikana Tanzania alipowasli katika Kanisa la Anglikana Jijini Mwanza  wakati alipomuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kwenye  Sherehe ya kuwekwa Wakfu Askofu wa Tano wa Dayosisi ya Victoria Nyanza, iliyofanyika leo Mei 16,2021 katika Kanisa la Anglikana Jijini Mwanza.kulia ni Mama Mbonimpaye Mpango.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, akiagana na Askofu Mkuu wa Kanisa la Anglikana Tanzania Mhashamu Maimbo William Mndolwa  wakati alipomuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kwenye  Sherehe ya kuwekwa Wakfu Askofu wa Tano wa Dayosisi ya Victoria Nyanza, iliyofanyika leo Mei 16,2021 katika Kanisa la Anglikana Jijini Mwanza.kulia ni Mama Mbonimpaye Mpango

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, akihutubia Waumini wa Dini ya Kikristo na Watanzania alipomuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kwenye  Sherehe ya kuwekwa Wakfu Askofu wa Tano wa Dayosisi ya Victoria Nyanza, iliyofanyika leo Mei 16,2021 katika Kanisa la Anglikana Jijini Mwanza.

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, akisalimiana na Baadhi ya Maaskofu  wa Kanisa la Anglikana Tanzania alipowasli katika Kanisa la Anglikana Jijini Mwanza  wakati alipomuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kwenye  Sherehe ya kuwekwa Wakfu Askofu wa Tano wa Dayosisi ya Victoria Nyanza, iliyofanyika leo Mei 16,2021 katika Kanisa la Anglikana Jijini Mwanza.kulia ni Mama Mbonimpaye Mpango.

 (Picha na Ofisi ya Makamu wa Rais

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...