Wafanyabiashara ndogondogo maarufu kama Machinga, wakakiwa karibu na basi wakiwa wameshika bidhaa mbalimbali kama wanavyoonekana pichani kwaajili ya kuwauzia  abiria walio ndani ya basi 
 katika Kituo Kikuu cha Mabasi cha Magufuli Mbezi luis  wilaya ya Ubungo Mkoani Dar es eslaam leo Mei 29, 2021.
(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv)

Wafanyabiashara ndogondogo maarufu kama Machinga wakiendelea na kazi ndani ya Kituo Kikuu cha Mabasi cha Magufuli Mbezi luis  wilaya ya Ubungo  Mkoani Dar es eslaam.
Wafanyabiashara ndogondogo maarufu kama Machinga wakiwa nje ya  Kituo Kikuu cha Mabasi cha Magufuli Mbezi luis  wilaya ya Ubungo  Mkoani Dar es eslaam. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...