Mhe. Dkt. Ali Hassan Mwinyi, Rais mstaafu wa Awamu ya Pili ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzani leo tarehe 02-06-2021 amefika Msasani jumbani kwa baba wa taifa hayati Mwalimu Julius Nyerere na kumkabidhi mjane wa baba wa taifa Kitabu cha simulizi ya maisha ya Mzee Mwinyi, “Mzee Ruksa safari ya Maisha yangu”
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...