Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.
Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Mwenyekiti wa Makampuni ya Wilmar
International ya Singapore, Kuok Khoon Hong mara baada ya kuwasili Ikulu Jijini
Dar es Salaam leo tarehe 18 Juni, 2021.
Mwenyekiti wa Makampuni ya Wilmar
International ya Singapore Kuok Khoon Hong akizungumza na Wanahabari Ikulu
Jijini Dar es Salaam leo tarehe 18 Juni, 2021.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...