Mchekeshaji maarufu Afrika Mashariki na Kati  kutoka Nchini Kenya Eric  Omondi akiwa katika picha ya Pamoja na Wafanyakazi wakati  alipotembelea Banda la Shirika la Bima la Taifa( NIC) kupata elimu na Huduma za Bima katika maonesho ya 45 ya Biashara Sabasaba yanayoendelea jijini Dar es salaam.

Mkurugenzi wa Masoko na Huduma kwa Wateja Isaya Mwakifulefule akiteta Jambo na Mchekeshaji maarufu Afrika Mashariki na Kati  kutoka Nchini Kenya Eric  Omondi wakati  alipotembelea Banda la Shirika la Bima la Taifa( NIC) kupata elimu na Huduma za Bima katika maonesho ya 45 ya Biashara Sabasaba yanayoendelea jijini Dar es salaam.
Mkurugenzi wa Masoko na Huduma kwa Wateja wa Shirika la Bima la Taifa la Bima (NIC) Isaya Mwakifulefule akizungumza na mchekeshaji maarufu Afrika Mashariki na Kati  kutoka Nchini Kenya Eric  Omondi wakati alipotembelea  banda la Shirika la Bima la Taifa( NIC) kupata elimu na Huduma za Bima katika maonesho ya 45 ya Biashara Sabasaba yanayoendelea jijini Dar es salaam.
Mchekeshaji maarufu Afrika Mashariki na Kati  kutoka Nchini Kenya Eric  Omondi akizungumza na waandishi wa habari alipotembelea  Banda la Shirika la Bima la Taifa( NIC) kupata elimu na Huduma za Bima katika maonesho ya 45 ya Biashara Sabasaba yanayoendelea jijini Dar es salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...