Matukio mbalimbali pichani ya kionesha namna Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Nchini Kamishna Mstaafu Robert Boaz akiagwa kwa gwaride maalum la heshima lililoandaliwa kwa ajili yake baada ya kumaliza utumishi wa umma kwa mujibu wa sheria, hafla ya kumuaga ilifanyika katika viwanja vya Chuo cha Taaluma ya Polisi Kurasini, Dar es salaam. Picha na Jeshi la Polisi.







 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...