Matukio mbalimbali pichani ya kionesha namna Mkurugenzi
wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Nchini Kamishna Mstaafu Robert Boaz
akiagwa kwa gwaride maalum la heshima lililoandaliwa kwa ajili yake
baada ya kumaliza utumishi wa umma kwa mujibu wa sheria, hafla ya
kumuaga ilifanyika katika viwanja vya Chuo cha Taaluma ya Polisi
Kurasini, Dar es salaam. Picha na Jeshi la Polisi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...