Kamishna Msaidizi Idara ya ubia wa sekta ya umma na sekta binafsi kutoka Wizara ya Fedha na Mipango, Irene Rugemalila akiwasilisha mada kuhusu sera na sheria ya ubia baina ya sekta binafsi na sekta ya umma katika kikao cha Kamati ya Bunge ya Bajeti kilichofanyika Bungeni Jijini Dodoma.PICHA NA OFISI YA BUNGE


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...