:Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Bara) Ndugu Christina Mndeme akizungumza na Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Kahama Ndugu Thomas Muyonga (kulia)mara baada ya kuwasili wilayani humo tayari kwa uzinduzi wa kampeni katika jimbo la Ushetu kesho tarehe 27 Septemba katika viwanja vya Nyamilangano, Kahama mkoani Shinyanga. (Picha na CCM Makao Makuu)

 

Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Bara) Ndugu Christina Mndeme akizungumza na wajumbe wa kamati ya siasa wilaya ya Kahama mara baada ya kuwasili wilayani humo tayari kwa uzinduzi wa kampeni katika jimbo la Ushetu kesho tarehe 27 Septemba katika viwanja vya Nyamilangano, Kahama mkoani Shinyanga. (Picha na CCM Makao Makuu)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...