:Naibu Katibu Mkuu wa
CCM (Bara) Ndugu Christina Mndeme akizungumza na Mwenyekiti wa CCM
wilaya ya Kahama Ndugu Thomas Muyonga (kulia)mara baada ya kuwasili
wilayani humo tayari kwa
uzinduzi wa kampeni katika jimbo la Ushetu kesho tarehe 27 Septemba
katika viwanja vya Nyamilangano, Kahama mkoani Shinyanga. (Picha na CCM
Makao Makuu)
Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Bara) Ndugu Christina Mndeme akizungumza na wajumbe wa kamati ya siasa wilaya ya Kahama mara baada ya kuwasili wilayani humo tayari kwa uzinduzi wa kampeni katika jimbo la Ushetu kesho tarehe 27 Septemba katika viwanja vya Nyamilangano, Kahama mkoani Shinyanga. (Picha na CCM Makao Makuu)
Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Bara) Ndugu Christina Mndeme akizungumza na wajumbe wa kamati ya siasa wilaya ya Kahama mara baada ya kuwasili wilayani humo tayari kwa uzinduzi wa kampeni katika jimbo la Ushetu kesho tarehe 27 Septemba katika viwanja vya Nyamilangano, Kahama mkoani Shinyanga. (Picha na CCM Makao Makuu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...