Prof. Raphael Zozimus Sangeda wa Muhimbili akiwasilisha mada ya elimu juu ya Virusi, chanjo na mabadiliko ya virusi kuhusiana na Uviko-19 wakati wa madhimisho ya siku ya wafamasia Duniani yaliyofanyika Chuo cha Utalii Maruhubi Zanzibar


Mkurugenzi Mtendaji Wakala wa Chakula, Dawa na Vipodozi Zanzibar Dkt. Burhan Othman Simai akifungua Mkutano wa siku ya Wafamasia Duniani uliofanyika Chuo cha Utalii Maruhubi Mjini Zanzibar. 



Baadhi wa wafamasia wakisikiliza mada mbalimbali zilizowasilishwa na watoa mada katika madhimisho ya siku ya wafamasia Duniani yaliyofanyia Ukumbi wa mikutano wa Chuo cha Utalii Maruhubi.

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wafamasia Zanzibar Ame Omar Ame akichangia kuhusu kuongeza elimu wafamasia katika madhimisho ya siku ya wafamasia Duniani.

Mkuu wa ukaguzi wa dawa na utekelezaji (ZFDA) akiwasilisha mada yake ya kazi ya mamlaka za udhibiti katika ufuatiliaji wa chanjo za Uviko-19 katika maadhimisho ya siku ya Wafamasia Duniani.

Picha ya pamoja ya baadhi ya wafamasia walioshiriki katika madhimisho ya siku ya wafamasia Duniani.

Picha na Makame Mshenga.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...