Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) alipokuwa katika mazungumzo na Balozi wa India nchini Tanzania Mhe.Binaya Srikanta Pradhan wakati alipofika Ikulu jijini Zanzibar kujitambilisha leo .[Picha na Ikulu] 16/09/2021.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) alipokuwa katika mazungumzo na Balozi wa India nchini Tanzania Mhe.Binaya Srikanta Pradhan wakati alipofika Ikulu jijini Zanzibar kujitambilisha leo akiwepo na Balozi Mdogo ayefanyia kazi Zanzibar Mhe.Bhagwant Singh, (kushoto).[Picha na Ikulu] 16/09/2021.

 

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) alipokuwa katika picha na mgeni wake Balozi wa India nchini Tanzania Mhe.Binaya Srikanta Pradhan baada ya mazungumzo yao yaliyofanyika leo alipofika Ikulu jijini Zanzibar kujitambilisha.[Picha na Ikulu] 16/09/2021.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...