Makamu Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo Juma Duni Haji akimtangaza mgombea Ubunge wa Chama hocho katika uchaguzi mdogo wa Jimbo la Konde Muhammed Said Issa katika siku ya Mwisho ya kufunga kampeni hapo kwenye viwanja vya konde Polisi.




Wafuasi wa ACT wazalendo wakiunga mkono kumpigia kura Mgombea wao katika mkutano wa kufunga kampeni katika uchaguzi Mdogo Jimbo la Konde.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...