Waziri wa Biashara za kimataifa na uwekezaji wa  Ufaransa Franck Reister leo Oktoba 19 kupitia shirika la ndege la nchi hiyo la 'Air Fance Airline' amezindua rasmi safari za ndege kutoka Paris UfaransaZanzibar hadi Zanzibar ambapo huduma hiyo ilisitishwa kuanzia mwaka 1974 na kurejeshwa rasmi leo, Waziri Reister ameeleza kuwa huo ni mwendelezo wa kudumisha mahusiano bora baina ya Tanzania na Ufaransa katika masuala mbalimbali ya kijamii na kiuchumi.
Waziri wa Biashara za kimataifa na uwekezaji Ufaransa Franck Reister akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa 'Abeid Amani Karume International Airport,' Zanzibar.







Matukio mbalimbali ya uzinduzi rasmi wa safari za ndege kutoka Zanzibar hadi nchini Ufaransa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...