Wananchi wakichagua vitu mbalimbali vya watoto wao  kwa ajili ya maandalizi ya sikuu ya Mwaka Mpya  kama walivyokutwa na Camera yetu Michuzi TV kwenye  mtaa wa Congo Soko Kuu la Kariakoo jijini Dar es Salaam. (Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv)
Sehemu ya umatai wa watu uliofurika katika mtaa wa Congo kwenye  soko kuu la Kariakoo jijini Dar es Salaam.
 Wanawake wakichagua nguo za watoto wao wa kike  kwa ajili ya maandalizi ya sikuu ya mwaka Mpya kama walivyokutwa na Camera yetu ya Michuzi TV kwenye  mtaa wa Congo Soko Kuu la Kariakoo jijini Dar es Salaam.
 




 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...