Mhe.Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya akizungumza na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan na Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam leo tarehe 10 Desemba, 2021 kabla ya kuondoka kurejea nchini Kenya baada ya kukamilisha Ziara ya Kiserikali ya siku moja hapa nchini.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akimsindikiza mgeni wake Mhe. Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam leo tarehe 10 Desemba, 2021 alipokua akiondoka kurejea nchini Kenya baada ya kukamilisha Ziara ya Kiserikali ya siku moja hapa nchini.

Mhe. Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya akiagana na baadhi yaViongozi wa Serikali katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam leo tarehe 10 Desemba, 2021 alipokua akiondoka kurejea nchini Kenya baada ya kukamilisha Ziara ya Kiserikali ya siku moja hapa nchini. Kulia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiagana na mgeni wake Mhe. Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam leo tarehe 10 Desemba, 2021 alipokua akiondoka kurejea nchini Kenya baada ya kukamilisha Ziara ya Kiserikali ya siku moja hapa nchini.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...