Mbunge wa viti maalum Vijana (CCM) Asia Halamga ameweka wazi kwamba hana mpango wa kuwania nafasi ya ubunge wa jimbo ifikapo 2025 kama ambavyo baadhi ya watu wamekuwa wakimuhisi, akisema kuwa kwa sasa ni Mbunge ndani ya Miaka mitano bado hajajua kesho yake,Mungu ndo anajua.
Mbunge wa vijana Asia Halamga amesema hana mpango wa kugombea ubunge kama inavyozungumzwa na baadhi ya watu Kwani nafasi aliyonayo inamtosha; “Sijawahi kuzungumza popote kuhusu kugombea jimbo la Hanang.
Mimi ni Mbunge wa Vijana Taifa, Hanang ni kwetu lazima nitoe msaada pale inapobidi, watu wasinifanye niogope kutoa michango mbalimbali.Alisema Asia
"Kwa sasa mimi ni Mbunge ndani ya Miaka mitano, ndo kwanza mwaka wa kwanza wala sijui kesho yangu,sijafikiria kugombea jimbo lolote" alisisitiza Mbunge huyo.
Mimi ni Mbunge wa Vijana Taifa, Hanang ni kwetu lazima nitoe msaada pale inapobidi, watu wasinifanye niogope kutoa michango mbalimbali.Alisema Asia
"Kwa sasa mimi ni Mbunge ndani ya Miaka mitano, ndo kwanza mwaka wa kwanza wala sijui kesho yangu,sijafikiria kugombea jimbo lolote" alisisitiza Mbunge huyo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...