Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akizungumza wakati akifungua Mkutano Mkuu wa 21wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF),uliofanyika jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Tamisemi Ummy Mwaimu akizungumza kuhusiana na Sekta Binafsi kuwekeza katika maeneo ya vijijini nchini kwa wafanyabiashara katika Mkutano Mkuu wa 21wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF) uliofanyika jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Viwanda na Biashara akizungumza kuhusiana wafanyabiashara katika Mkutano Mkuu wa 21wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF) uliofanyika jijini Dar es Salaam. Uwekezaji nchini kwa wafanyabiashara katika Mkutano Mkuu wa 21wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF) uliofanyika jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Uwekezaji Godfrey Mwambe akizungumza kuhusiana na Uwekezaji nchini kwa wafanyabiashara katika Mkutano Mkuu wa 21wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF) uliofanyika jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania(TPSF) Angelina Angalula akizungumza kuhusiana na mchango wa Sekta Binafsi katika Mkutano Mkuu wa 21 wa Taasisi hiyo uliofanyika jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wanachama wa sekta binafsi wakiwa katika Mkutano Mkuu wa 21 wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania(TPSF)uliofanyika jijini Dar es Salaam.


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...